WHO YASEMA HATARI YA EBOLA KWA NCHI JIRANI NA GUINEA NI KUBWA

You are currently viewing WHO YASEMA HATARI YA EBOLA KWA NCHI JIRANI NA GUINEA NI KUBWA

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuna hatari kubwa ya mlipuko wa Ugonjwa wa Ebola uliopo Guinea kusambaa Mataifa jirani. Shirika hilo limesema baadhi ya Nchi hizo hazijajiandaa kwa kampeni za Chanjo.

Mwakilishi wa WHO Guinea, Gerorges Alfred Ki-Zerbo amesema visa 18 vimerekodiwa hadi sasa na kati yao, wanne wamepoteza maisha. Tayari watu 1,604 wamepatiwa chanjo dhidi ya Ugonjwa huo ambao umeibuka tena hivi karibuni.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa