NIGERIA: WANAFUNZI WA KIKE 300 WATEKWA.

You are currently viewing NIGERIA: WANAFUNZI WA KIKE 300 WATEKWA.

Wanafunzi 300 katika Jimbo la Zamfara lililoko Kaskazini Magharibu mwa Nigeria wametekwa nyara Ijumaa asubuhi baada ya shambulio.

Msemaji wa Gavana wa Jimbo amethibitisha kutokea kwa shambulio hilo. Hili ni tukio la karibuni la utekaji unaowahusisha Watu wengi

Ikumbukwe Watu wenye silaha nchini Nigeria huwateka Wasichana wa Shule kwa ajili ya kupata fedha.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa