VILIO VYATAWALA WAKATI WA KUAGWA MWILI WA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI KATIKA UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amewaongoza viongozi mbalimbali, wakiwemo wabunge, mawaziri na wananchi kumuaga aliyekuwa Rais wa Taifa hilo John Pombe Magufuli aliyefariki Machi 17…