EQUATORIAL GUINEA YAKUMBWA NA MILIPUKO KUTOKANA NA UHIFADHI MBOVU WA BARUTI.

You are currently viewing EQUATORIAL GUINEA YAKUMBWA NA MILIPUKO KUTOKANA NA UHIFADHI MBOVU WA BARUTI.

Watu 500 wamejeruhiwa kufuatia milipuko iliyotokea karibu na Kambi za Wanajeshi, Mji Mkuu wa Bata, Machi 8 huku watu wengine 15 wakiripotiwa kufariki.

Rais Teodoro Obiang Nguema amesema milipuko hiyo imesababishwa na uzembe uliohusishwa na hifadhi ya baruti kali kambini.

Amesema athari iliyotokana na milipuko ni pamoja na uharibifu mkubwa katika nyumba zote na majengo yaliyo karibu na Kambi ya Jeshi na hivyo ameomba usaidizi wa kimataifa.

Aliongeza kwamba, huenda tukio hilo limetokea kufuatia hatua ya wakulima kuchoma mashamba yanayozunguka Kambi za Jeshi

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa