TANZANIA INA WANAWAKE WENGI BUNGENI UKILINGANISHA NA UGANDA NA KENYA

You are currently viewing TANZANIA INA WANAWAKE WENGI BUNGENI UKILINGANISHA NA UGANDA NA KENYA

Ripoti ya 2021 ya Inter Parliamentary Union imeonesha Tanzania inaongoza kwa kuwa na Wabunge Wanawake wengi ukilinganisha na Kenya na Uganda. Tanzania ina Wanawake 36.7% ya Bunge hivyo iko nafasi ya 34 kidunia.

Uganda imeonekana kuwa na Wabunge Wanawake 34.9% na iko nafasi ya 37 kidunia huku Kenya ikiwa na Wabunge Wanawake 21.6% na kuwa nafasi ya 107.

Rwanda na Burundi wako nafasi nzuri zaidi katika Ukanda wa Afrika Mashariki, kwani Rwanda ina Wanawake 61.3% Bungeni ambapo ni ya kwanza kwa kuwa na Wabunge Wanawake wengi duniani.

Burundi ina Wanawake 38.2% Bungeni ambapo iko nafasi moja juu ya Tanzania

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa