UGANDA: SERIKALI YAKANUSHA TAARIFA ZA MUSEVENI KUPATA CHANJO YA COVID19

You are currently viewing UGANDA: SERIKALI YAKANUSHA TAARIFA ZA MUSEVENI KUPATA CHANJO YA COVID19

Waziri wa Afya Nchini humo, Dkt. Jane Ruth Aceng amesema Rais Yoweri Museveni na watu wake wa karibu hawajapatiwa chanjo dhidi ya Virusi vya Corona.

Wizara ya Afya imetoa kauli hiyo ikikanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la Uganda la Daily Monitor na The Wall Street Journey la Marekani zikidai Museveni na watu wa karibu naye wamepata Chanjo.

Hadi sasa Nchi hiyo imerekodi maambukizi 40,243 na vifo 333 huku waliopona wakifikia 14,615

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa