WAZIRI WA FEDHA UASIN GISHU ATETEA KAUNTI HIYO DHIDI YA MADAI YA UBADHIRIFU WA FEDHA ZA BAJETI YA MWAKA 2018/2019.

You are currently viewing WAZIRI WA FEDHA UASIN GISHU ATETEA KAUNTI HIYO DHIDI  YA MADAI YA UBADHIRIFU WA FEDHA ZA  BAJETI YA MWAKA 2018/2019.
  • Post category:Biashara

Waziri wa fedha katika kaunti ya Uasin Gishu Julius Ruto ameitetea kaunti hiyo dhidi ya madai kwamba ilifeli kutumia shilingi  bilioni tatu nukta mbili  zilizotengwa katika bajeti ya mwaka wa kifedha 2018/2019.

Kulingana na Ruto japo pesa hizo zilikuwa zimetengwa na kujumishwa kwenye bajeti ya mwaka ziliwasilishwa baada ya mwaka wa kifedha kukamilika na hivyo hazikutumika kama ilivyokusudiwa.

Aidha amesema kuna baadhi ya miradi ambazo zinachukua muda kukamilika na hivyo fedha zilizotengwa kuifanikisha hazikutumika

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa