WASHINGTON: “KAZI YA KUTAYARISHA MUZIKI ILITOKA BAADA YA KIFO CHA MOZEY RADIO”

You are currently viewing WASHINGTON: “KAZI YA KUTAYARISHA MUZIKI ILITOKA BAADA YA KIFO CHA MOZEY RADIO”
  • Post category:Burudani

Prodyuza wa muziki nchini Uganda Washington amefunguka na kusema kwamba kifo cha  msanii Mozey Radio imeathiri pakubwa kazi yake kutayarisha muziki.

Akiwa kwenye moja interview Washington amesema kwa sasa hafanyi suala la kutayarisha muziki kwa moyo wake wote kama miaka hapo nyuma kwani alipoteza hamu ya kutayarisha muziki baada ya kifo cha Mozey Radio.

Ikumbukwe Washington ni moja kati ya maprodyuza waliondaa ngoma kali za Mozey Radio kama “Dont Cry” na “Breathe Away” ambazo zilifanya vizuri kwenye tasnia ya muziki nchini Uganda, lakini tangu msanii Mozey Radio afariki dunia miaka mitatu iliyopita  Washington amefeli kutoa ngoma kali.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa