WASANII AMBAO NI WASHIRIKA WA JAY-Z WAPATIWA ASILIMIA 3 YA MAUZO YA TIDAL KWA SQUARE.

You are currently viewing WASANII AMBAO NI WASHIRIKA WA JAY-Z WAPATIWA ASILIMIA 3 YA MAUZO YA TIDAL KWA SQUARE.
  • Post category:Burudani

Wiki iliyopita Jay-Z aliingia kwenye headlines za dunia kwa kuuza hisa nyingi za mtandao wake wa TIDAL kwa kampuni ya SQUARE ambayo inamilikiwa na Jack Dorsey, CEO wa Twitter.

Jay-Z ambaye alikuwa mmiliki wa mtandao huo aliingiza  takribani TSh. Bilioni 32.5. Licha ya Jay Z kumiliki TIDAL, kuna wasanii ambao pia wana hisa zao kwenye mtandao huo, akiwemo Rihanna, Beyonce, J. Cole, Nicki Minaj, T.I , Kanye West na wengine.

Sasa imeripotiwa kuwa wasanii hao nao wamefaidika na mauzo hayo kwani wamepatiwa 3% ya mauzo ambapo kila mmoja ametia kibindoni takribani millioni 976, huku pia wakiendelea kuwa na hisa zao kama kawaida.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa