RAPA GRAVITY OMUTTUJU AFUNGUKA KUHUSU SUALA LA KUTUMIA PESA ZA NRM KUJENGA MJENGO WA KIFAHARI.

You are currently viewing RAPA GRAVITY OMUTTUJU AFUNGUKA KUHUSU SUALA LA KUTUMIA PESA ZA NRM KUJENGA MJENGO WA KIFAHARI.
  • Post category:Burudani

Rapa kutoka nchini uganda Gravity Omutujju amekanusha madai yanayosambaa mitandaoni kwamba alitumia pesa alizolipwa na chama cha  Kiusiasa cha NRM kujenga mjengo wake wa kifahari ambao alishare kwa mashabiki zake majuzi.

Akipiga stori na radio moja nchini Uganda Omutujju amekana madai hayo na kusema kuwa mjengo wake huo umetokana na bidii pamoja na juhudi zake mwenyewe,

Aidha ametumia fursa hiyo kuwashauri wasanii wa muziki nchini uganda kuwekeza kwenye vitu vitakavyowapa faida ya kujiendeleza kimaisha badala ya kutumia pesa zao kwenye shughuli za starehe.

Kauli ya Gravitty Omutujju inakuja mara baada ya wajuzi wa mambo nchini Uganda kudai kwamba alilipwa shillingi millioni 5.9 na chama cha kisiasa cha NRM, hivyo alitumia pesa hizo kujenga mjengo wake huo wa kifahari.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa