WAHUDUMU WA BODABODA KOTE NCHINI KUPOKEZWA MAFUNZO KUHUSU SHERIA ZA BARABARANI.

You are currently viewing WAHUDUMU WA BODABODA KOTE NCHINI KUPOKEZWA MAFUNZO KUHUSU SHERIA ZA BARABARANI.

Wahudumu wa boda boda kote nchini  wanatarajiwa kupokea mafunzo kuhusu sheria za barabarani, ujuzi wa kuendesha pikipiki sawa na ujasiriamali katika biashara hiyo.

Mkurugenzi katika Mamlaka ya Usalama Barabarani NTSA Badu Katelo anasema mpango huo wa serikali unawalenga wanabodaboda takriban milioni 1.4 na utaendeshwa na shirika la huduma kwa vijana NTS kwa ushirikiano na ntsa, wizara ya usalama wa ndani pamoja na serikali ya kaunti.

Katelo amekariri kwamba sekta ya bodaboda  imechangia pakubwa katika kuwaajiri vijana kando na kuchangia shilingi  billion 350 kwa pato la taifa kila mwaka hivyo pana haja ya sera mwafaka kuwekwa ili kuboresha sekta hiyo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa