RAILA ODINGA AKUTWA NA COVID-19

You are currently viewing RAILA ODINGA AKUTWA NA COVID-19

Kiongozi wa Upinzani nchini, Raila Odinga amekutwa na maambukizi ya Virusi vya Corona lakini anaendelea vizuri katika Hospitali ya #Nairobi ambako amelazwa.

Odinga alilazwa tangu Machi 9 baada ya kuwa na uchovu mwingi na maumivu. Ambapo nduguze walisema hakuwa na dalili za shida katika Mfumo wa Upumuaji lakini walikuwa wanasubiri majibu.

Majibu ya Raila Odinga yametoka Alhamis, Machi 11, Japo Odinga mwenyewe aliwatoa hofu watu mchana kuwa anaendelea vizuri

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa