SETH PANYAKO AHAPA KUWATUMIKIA WAUGUZI MARA BAADA YA KUCHAGULIWA TENA KAMA KATIBU WA MUUNGANO WA WAUGUZI NCHINI .

You are currently viewing SETH PANYAKO AHAPA KUWATUMIKIA WAUGUZI MARA BAADA YA KUCHAGULIWA TENA KAMA KATIBU WA MUUNGANO WA WAUGUZI NCHINI .

Katibu wa Muungano wa Wauguzi Nchini Seth Panyako anasema ataendelea kuwa kiongozi wa muungano huo licha ya pingamizi kutoka kwa baadhi ya watu

Akizungumza baada ya kuchaguliwa kwa mara nyingine kama katibu wa chama hicho Panyako amewataka viongozi wa kisiasa kujitenga na maswala ya sekta ya afya akisema mwingilio wa wanasiasa kwenye sekta hiyo huenda ikahujumu juhudi za wahudumu wa afya kupata haki zao.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa