OGUNA ASEMA SERIKALI ITAKABILIANA NA VIONGOZI WACHOCHEZI.

You are currently viewing OGUNA ASEMA  SERIKALI ITAKABILIANA NA VIONGOZI WACHOCHEZI.

Serikali imeendelea kuwaonya vikali wanasiasa ambao wanaotoa jumbe zinazowezakusababisha chuki  nchini hasa wakati huu ambapo serikali inajiandaa kwa uchaguzi mkuu ujao

Msemaji wa serikali Kadinali mstaafu Cyrus Oguna amesema idara zinazohusika zinafuatilia kwa makini mienendo ya wanasiasa na watakaopatikana na hatia watachukuliwa hatua kali za kisheria

Kauli ya Oguna inajiri huku idara mbalimbali za serikali ikiwemo Bunge ,Tume ya Uwiano na Utangamano NCIC ,ile ya Uchaguzi IEBC, Tume ya Kukabili Ufisadi EACC na DCI zikisema zitashirikiana kudumisha maadili nchini.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa