RAILA ODINGA ALAZWA HOSPITALI YA NAIROBI

You are currently viewing RAILA ODINGA ALAZWA HOSPITALI YA NAIROBI

Kiongozi wa Chama cha ODM Raila Odinga amelazwa Hospitali ya Nairobi kutokana na kuwa na uchovu wa mwili na maumivu makali.

Kaka wa Odinga, Oburu Odinga amesema ndugu yake haijaonesha dalili za Magonjwa ya Mfumo wa Hewa na hadi wameondoka Hospitali majibu ya COVID-19 yalikuwa bado hayajatoka.

Amesema kuwa hakuna haja ya kuhuzunika kutokana na Raila kuugua kwa kuwa kila mtu anaugua.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa