BUNGE KUJADILI MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA YA MAKOSA MTANDAONI.

You are currently viewing BUNGE KUJADILI MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA YA MAKOSA MTANDAONI.

Bunge la Kitaifa linatarajia kujadili Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Makosa Mtandaoni ambapo kama utapitishwa, Mtu atafungwa miaka 25 Jela au faini ya Ksh. Milioni 20 endapo atasambaza maudhui ya ngono mtandaoni.

Vivyo hivyo, Muswada huo unataka kuzuia utumiaji wa Vifaa vya Elektroniki katika kusambaza jumbe zinazochochea Ugaidi, Itikadi Kali za Kidini au Ibada.

Katika kurekebisha Sheria ya Uhalifu wa Mtandaoni, Muswada unasema Mtu ambaye atachapisha au kusambaza ujumbe unaochochea watu kujiunga au kushiriki katika shughuli za kigaidi, atahukumiwa faini isiyozidi Ksh. Milioni 5  au atakabiliwa na kifungo cha miaka 10 jela au vyote viwili

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa