MIKUSANYIKO YA KISIASA YAZUIWA KWA SIKU 30 ILI KUPAMBANA NA COVID19

You are currently viewing MIKUSANYIKO YA KISIASA YAZUIWA KWA SIKU 30 ILI KUPAMBANA NA COVID19

Rais Uhuru Kenyatta amezuia Mikusanyiko ya Kisiasa kwa siku 30 kuanzia Machi 12 ili kuzuia maambukizi ya Virusi vya Corona yanayoiandama nchi hiyo.

Zuio la kutotembea usiku limeongezwa kwa siku 60, ambapo amesema amechukua hatua hiyo kutokana na Wimbi la Tatu la Virusi vya Corona ambavyo wanakumbana navyo.

Kenyatta amesema Mikusanyiko ya Kisiasa inawaweka Wakenya kwenye hatari ya kupata maambukizi kwa kuwa watu hawawezi kuachiana nafasi.

Aidha amebainisha kuwa tangu wapigwe na COVID-19 wamepoteza takriban bilioni 560 za Kenya sawa na Tsh. Trillioni 11.8

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa