MUUNGANO WA MAAFISA WA KLINIKI WATISHIA KUMSHTAKI WAZIRI WA AFYA MUTAHI KAGWE.

You are currently viewing MUUNGANO WA MAAFISA WA KLINIKI WATISHIA KUMSHTAKI WAZIRI WA AFYA MUTAHI KAGWE.

Muungano wa Maafisa wa Kliniki nchini umetoa onyo kwa Waziri wa Afya Mutahi Kagwe kwamba utamchukulia hatua kali za kisheria kwa madai ya kusitisha marupurupu ya kufanya kazi katika mazingira magumu msimu huu wa janga la Corona.

Mwenyekiti wa Muungano huo Peterson Wachira  amesema wanachama wake wataendelea na mgomo wao hadi pale magavana watakapowajibika na kuangazia lalama zao.

Aidha amesisitiza kwamba magavana wamekuwa kizingiti cha kuafikiwa kwa mwafaka kuwaruhusu wahudumu wa afya kurejea kazini.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa