MUSWADA WA MAREKEBISHO YA KATIBA MWAKA 2020 WAWASILISHWA KATIKA BUNGE LA KITAIFA

You are currently viewing MUSWADA WA MAREKEBISHO YA KATIBA MWAKA 2020 WAWASILISHWA KATIKA BUNGE LA KITAIFA

Muswada wa marekebisho ya katiba mwaka wa 2020 umewasilishwa kwenye Bunge la kitaifa na kusomwa kwa mara ya kwanza.

Spika wa bunge la kitaifa Justin Muturi amethibitisha kupokea uamuzi wa mabunge 46 ya kaunti kuhusu BBI mabunge 43 yakipiga ndio na mabunge  matatu yakipinga bbi kaunti ya uasin gishu ikisubiriwa kuamua ikiwa inaunga mkono au la.

Muturi amesema muswada huo wa BBI utakabidhiwa kamati za bunge kuhusu sheria kwenye bunge la Seneti na bunge la kitaifa ili kamati hizo ziandae vikao vya pamoja kujadili mswada huo

Hata hivyo amesema wananchi wamehusishwa kikamilifu katika mchakato mzima akisema na kwamba kama wabunge watahakikisha mswada huwo uanapasishwa bungeni.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa