WAHUDUMU WA AFYA NCHINI WADAI HAWAKO TAYARI KUIPOKEA CHANJO YA CORONA

You are currently viewing WAHUDUMU WA AFYA NCHINI WADAI HAWAKO TAYARI KUIPOKEA CHANJO YA CORONA

Baadhi ya wahudumu wa afya nchini wanahoji kuwa hawapo tayari kupewa chanjo dhidi ya virusi vya Corona

Kulingana nao hawakupewa hamasisho kuhusiana na madhara yake  huku wakitaka serikali kuwapa elimu kabla ya kuanza kutoa chanjo hiyo.

Aidha wametaka wahudumu  wa afya ya jamii vilevile kupewa kipau mbele kwenye chanjo hiyo ikizingatiwa kwamba wamekuwa mstari wa mbele kupambana na Corona.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa