MUME WA ZAMANI TIWA SAVAGE, TEE BILLZ ADAI HAKUNA MSANII WA KUANZIA MWAKA 1900-2022 ANAYEWEZA KUMZIDI MSANII HUYO KIMUZIKI.

You are currently viewing MUME WA ZAMANI TIWA SAVAGE, TEE BILLZ ADAI HAKUNA MSANII WA KUANZIA MWAKA 1900-2022 ANAYEWEZA KUMZIDI MSANII HUYO KIMUZIKI.

Tee billz ambaye ni mume wa zamani wa Tiwa Savage anaamini hakuna msanii yeyote wa kuanzia mwaka wa 1900 hadi 2021 ambaye anaweza kumshinda mke wake wa zamani kwenye muziki.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Tee billz amesema kama kuna mtu anajiamini anaweza kushindana naye ajitokeze na akimshinda msanii huyo atampa dola milioni 1.

Tee billz na Tiwa savage walioana  November 23 mwaka wa 2013, na mwaka 2015 wakabarikiwa kupata mtoto wa kiume aitwaye “Jamil Balogun” lakini mwaka wa 2016 wawili hao walitangaza kuachana.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa