WAFANYIBIASHARA NAKURU KUNUFAIKA NA MAHABARA YA KISASA KUKADIRIA UBORA WA BIDHAA ZAO.

You are currently viewing WAFANYIBIASHARA NAKURU KUNUFAIKA NA MAHABARA YA KISASA KUKADIRIA UBORA WA BIDHAA ZAO.
  • Post category:Biashara

Zaidi ya wafanyibiashara 1000 wa chini na kati watanufaika na mahabara ya kisasa ya kufanyia uchunguzi itakayojengwa na Shirika la kukadiria  ubora  wa bidhaa nchini ,KEBS.

Kulingana na mkurungezi mkuu  wa KEBS mstaafu Liutenant Colonel  Bernard Njiraini ,mahabara hayo yatakayojengwa  viungani  mwa mji  wa Nakuru, itapunguza gharama ya usafirishaji  iliyotumika hapo awali kusafirisha baadhi ya bidhaa hadi Jijini Nairobi ili kufanyiwa uchunguzi.

Akizungumza kwenye kikao na gavana wa Nakuru Lee Kinyanjui, , Njiraini pamoja na mwenyekiti wa bodi ya KEBS mhandisi Bernard Ngore, amesem ujenzi wa mahabara hayo katika Ukanda wa Bonde la Ufa, utasaidia uzalishaji wa bidhaa za hali ya juu.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa