SERIKALI YASHURIWA KUSAKA MBINU MBADALA YA KUKUSANYA USHURU

You are currently viewing SERIKALI YASHURIWA KUSAKA MBINU MBADALA YA KUKUSANYA USHURU
  • Post category:Biashara

Kiongozi wa Chama cha ANC Musalia Mudavadi ametoa wito kwa Serikali kuangazia upya bei ya mafuta iliyotangazwa wikendi iliyopita.

Mudavadi anasema Wizara ya fedha inapaswa kutafuta mbinu za kukwamua uchumi wa taifa bila kuwaumiza Wananchi wenye kipato cha chini.

Ameongeza kuwa wizara ya kawi haipaswi kupandisha bei ya mafuta akisema ilivyo kwa sasa Mwananchi wa kawaida amekandamizwa pakubwa.

Alex Toilem

Mwandishi, mhariri na msomaji wa habari Northrift Radio 104.9/104.5FM kapenguria.