VIONGOZI WA KIDINI UASIN GISHU WALALAMA KUHUSU KUPANDA KWA GHARAMA YA MAISHA.

You are currently viewing VIONGOZI WA KIDINI UASIN GISHU WALALAMA KUHUSU KUPANDA KWA GHARAMA YA MAISHA.
  • Post category:Biashara

Viongozi wa kidini katika kaunti ya Uasin Gishu wamelalmika kuhusu kile wamedai ni kudorora kwa uchumi wa taifa jambo ambalo wanasema limechangia pakubwa kudorora kwa maisha hivyo kuwafanya wakenya wengi wa mapato ya chini kuendelea kutaabika.

Wakiongozwa na imam katika msikiti wa Jua Kali Eldoret Ishmael Mohammed wanasema kupanda kwa bei ya chakula vile vile ada ya umeme imewafanya wengi kuhangaika na kushindwa na maisha ambayo wanasema yanaendelea kuwa magumu kila kukicha.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa