UGANDA: WAWILI WAKAMATWA KWA KUICHAPA BAKORA SANAMU YENYE SURA YA ‘RAIS MUSEVENI’

You are currently viewing UGANDA: WAWILI WAKAMATWA KWA KUICHAPA BAKORA SANAMU YENYE SURA YA ‘RAIS MUSEVENI’

Watu wawili wamekamatwa na Polisi nchini Uganda kwa kosa la kuchapa viboko Sanamu yenye sura ya Rais Yoweri Museveni.

Luta Ferdinand Male na Nsereko Asharf, ambao wanajiita wanaharakati waliipiga viboko sanamu kwa kuishutumu kufanya udanganyifu katika Uchaguzi Mkuu wa Uganda.

Uchaguzi wa Mkuu wa Uganda ulifanyika Januari 14 ambapo Rais Museveni alitangazwa kuwa mshindi na mshindani wake akilaumu kuwa kumekuwa na udanganyifu

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa