TID ATANGAZA ZIARA YAKE YA MUZUKI IITWAYO “NYOTA 21”.

You are currently viewing TID ATANGAZA ZIARA YAKE YA MUZUKI IITWAYO “NYOTA 21”.
  • Post category:Burudani

Nyota wa muziki wa Bongofleva, msanii TID ametangaza ujio wa ziara yake ya kimuziki inayoitwa ‘Nyota 21’.

Akizungumza  na waandishi wa habari, tid amesema, ameipa ziara hiyo jina la Nyota 21 kwa sababu ametimiza miaka hiyo tangu aanze kufanya kazi hiyo.

Baadhi ya wasanii ambao watakuwepo kwenye ziara hiyo ni G Nako, Lulu Diva, Linah, Domo Kaya na Sholo Mwamba.

Dodoma ndiyo litakuwa Jiji la kwanza kuanzisha burudani ya ziara hiyo  huku Miji mingine kama Mwanza, Arusha, Mbeya na Dar es Salaam zikifuata.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa