CHAPA YA RIHANNA “SAVAGE & FENTY” YATAJWA KUFIKIA SHILLINGI BILLIONI 109.

You are currently viewing CHAPA YA RIHANNA “SAVAGE & FENTY” YATAJWA KUFIKIA SHILLINGI BILLIONI 109.
Rihanna attends the Fenty Beauty by Rihanna event at Sephora on September 14, 2018 in Brooklyn, New York. (Photo by Angela Weiss / AFP) (Photo credit should read ANGELA WEISS/AFP via Getty Images)
  • Post category:Burudani

Chapa ya mavazi ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani Rihanna  iitwayo “Savage and Fenty” imetajwa kufikisha thamani ya shillingi billlioni 109 za Kenya.

Rihanna mwenye utajiri wa shillingi billioni 65.7 alizindua chapa hiyo ya mavazi mwaka 2018, ni miongoni mwa biashara za Rihanna ikiwemo Fenty Clothing Line, Fenty Beauty kwa ajili ya makeup na Fenty Skin kwa ajili ya vipodozi vya ngozi.

Ongezeko la thamani ya chapa hiyo limetokana na Series B funding, mradi ambao hufanywa kuchangisha fedha kutoka kwa wawekezaji na wafanya biashara kuchangia biashara zinazokua.

Hivyo baada ya mchakato huo, Savage X Fenty iliongeza pato lake hadi kufikia kiasi cha shillingi billioni 12.6 na kuifanya chapa hiyo kuwa na thamani ya shillingi billioni 109.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa