THAILAND YASITISHA MATUMIZI YA ASTRAZENECA

You are currently viewing THAILAND YASITISHA MATUMIZI YA ASTRAZENECA

Mataifa yanayositisha kutoa chanjo ya COVID-19 ya AstraZeneca ili kujiridhisha kuhusu usalama wa chanjo yaongezeka baada ya Thailand kutangaza kusitisha matumizi ya chajo hiyo.

Mshauri wa Kamati ya Taifa ya Kusamimia Chanjo ya Virusi vya Corona wa Thailand amesema hawana sababu ya kuwa na haraka katika utoaji chanjo hivyo wanalenga kujiridhisha kuhusu usalama wa chanjo.

Mataifa mengine yaliyositisha chanjo ni Denmark, Norway, Iceland, Italia na Romania ambayo yalitangaza hatua hiyo jana

AstraZeneca imekuwa ikiwekewa wasiwasi kuwa inasababisha Damu Kuganda lakini baadhi ya Mamlaka za Afya Duniani zinasisitiza kwamba chanjo hiyo ni salama

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa