NIGERIA: RAIS NA MAKAMU WAKE WAPATIWA CHANJO YA COVID-19

You are currently viewing NIGERIA: RAIS NA MAKAMU WAKE WAPATIWA CHANJO YA COVID-19

Ili kuwahamasisha Wananchi kuhusu ubora wa chanjo dhidi ya COVID-19, Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari na Makamu wake Yemi Osibanjo wamekuwa watu wa kwanza kupatiwa chanjo.

Baada ya kupatiwa chanjo, Rais Buhari alitumia fursa kuwaomba Wananchi wa Nigeria kufahamu umuhimu wa kupatiwa chanjo ili kujikinga na Corona Virus kama yeye alivyofaya pamoja na Makamu wake.

Mwenyekiti wa Kamati ya Rais juu ya COVID-19, Boss Mustapha amesema uongozi wa Nigeria una imani kwa chanjo zilizoagizwa kutoka nje na kwamba hazina madhara.

Nigeria ilipokea chanjo ya COVID19 huku kampeni ikiendelea kuelimisha Wananchi kuhusu COVID-19 na hatua za msingi za kuchukuliwa kuzuia na maambukizi

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa