CANADA WATAKA NCHI IWAKILISHWE NA RAIS BADALA YA MALKIA WA UINGEREZA

You are currently viewing CANADA WATAKA NCHI IWAKILISHWE NA RAIS BADALA YA MALKIA WA UINGEREZA

Nchi ya Canada ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Madola ya Mataifa ya Uingereza, takriban nusu ya watu wameitaka Nchi yao iwakilishwe na Rais atakayechaguliwa badala ya Malkia wa Uingereza

Asilimia 45 ya Wananchi wa Canada walioshiriki mchakato ulioandaliwa na wakala wa utafiti wa kura ya maoni, wamesema wanapendelea kuwa na Rais wa Nchi aliyechaguliwa kupitia Uchaguzi

Wakati asilimia 24 ya wahojiwa walionekana kupendelea Canada ibaki ya kifalme, asilimia 18 walisema hawajali hata kidogo juu ya suala hili na asilimia 13 walikosa maamuzi.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa