UGANDA: WATU ZAIDI YA 40 WAKAMATWA KWA KUFANYA MAANDAMANO

You are currently viewing UGANDA: WATU ZAIDI YA 40 WAKAMATWA KWA KUFANYA MAANDAMANO

Vyombo vya Usalama vimewakamata zaidi ya wafuasi 40 wa Chama cha Upinzani cha NUP kwa kushiriki maandamano yaliyotangazwa na Kiongozi wao, Robert Kyagulanyi.

Bobi Wine aliwahimiza wafuasi wake kushiriki Maandamano ya Amani kupinga Matokeo ya Urais na kamatakamata ambayo Rais Yoweri Museveni amesema inalenga kukabiliana na majaribio ya ghasia.

Vyombo vya Usalama vimeitikia tangazo hilo la Maandamano ya Amani kwa kuweka doria kali sehemu mbalimbali za Miji

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa