“SITAKI KUSIKIA HABARI ZA WANAWAKE KATIKA MAISHA YANGU.” – ASEMA JOHN BLAQ

You are currently viewing “SITAKI KUSIKIA HABARI ZA WANAWAKE KATIKA MAISHA YANGU.” – ASEMA JOHN BLAQ
  • Post category:Burudani

Mwanamuziki kutoka nchini Uganda John Blaq amefunguka na kusema kwamba hana mpango wa kuoa hivi karibuni.

Akiwa kwenye moja ya interview hitmaker huyo wa ngoma  ‘Dont Be Like’ amesema mapenzi yake kwenye muziki ndio yamemfanya haishi maisha mazuri licha ya changamoto anazokutana  nazo.

John Blaq Anaamini wanawake wanaweza kumuaharibia shughuli zake za muziki lakini pia kumfilisisha kiuchumi.

Kauli ya John Blaq inakuja mara baada ya kuulizwa kuhusu maisha yake ya mahusiano.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa