SENEGAL: MAANDAMANO YAPAMBA MOTO, SERIKALI YAAMURU INTANETI KUZIMWA.

You are currently viewing SENEGAL: MAANDAMANO YAPAMBA MOTO, SERIKALI YAAMURU INTANETI KUZIMWA.

Mamlaka Nchini Senegal imeyaamuru mashirika yanayotoa huduma ya Intaneti (Internet) kuzima huduma hiyo Nchi nzima, huku maandamano ya kupinga kuzuiliwa kwa Kiongozi wa Upinzani yanazidi kuongezeka

Kulingana na NetBlocks, huduma ya intaneti kwa mitandao ya kijamii na programu za ujumbe, ikiwemo Facebook, WhatsApp na YouTube imezimwa mapema jana.

Ndani ya siku mbili zilizopita, angalau mtu mmoja aliuawa katika makabiliano kati ya Polisi na wafuasi wa Mwanasiasa wa Upinzani, Ousmane Sonko ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ubakaji na inadaiwa kukamatwa kwake kulichochewa kisiasa

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa