SEAN PAUL ATENGUA KAULI YAKE KWAMBA JAY-Z ALIMUONEA WIVU ALIPOFANYA KAZI NA BEYONCE.

You are currently viewing SEAN PAUL ATENGUA KAULI YAKE KWAMBA JAY-Z ALIMUONEA WIVU ALIPOFANYA KAZI NA BEYONCE.
  • Post category:Burudani

Staa wa muziki wa dancehall duniani Sean Paul ametengua kauli yake ambayo aliitoa mwezi uliopita kwamba Jay-Z alimuonea wivu kipindi amefanya kolabo na Beyonce “Baby Boy” mwaka 2003.

Stori hiyo ilisema Jay-Z aliuua wimbo huo kwa sababu alikuwa akimkataza Sean Paul kukaa karibu na Beyonce na hata kufanya show pamoja.

Sasa kwenye mahojiano na HotNewHipHop, Sean Paul amesema hakusema hivyo, bali mtangazaji wa kituo kile cha redio, ndiye aliikuza na hadi kufika kwenye mitandao.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa