SEAN PAUL ADAI JAY Z ALIKUWA NA WIVU SANA ALIPOFANYA KOLABO NA BEYONCE.

You are currently viewing SEAN PAUL ADAI JAY Z ALIKUWA NA WIVU SANA ALIPOFANYA KOLABO NA BEYONCE.
  • Post category:Burudani

Kolabo ya Beyonce na Sean Paul “Baby Boy” ya mwaka 2003 ilikuwa miongoni mwa ngoma kali na zilizotamba sana, huenda ingekuwa kubwa zaidi kama sio wivu wa Jay-Z.

Sean Paul amefunguka kupitia mahojiano na kituo kimoja cha redio nchini Jamaica ambapo amesema baada ya Kolabo hiyo, Jay-Z hakutaka kabisa mkali huyo wa dancehall awe karibu na mkewe Beyonce.

Mtangazaji alianza kwa kusema kwamba hakufurahishwa na namna collabo hiyo ilivyofanyika, Sean Paul alipigilia msumari kwa kusema

“Sikuweza kujisikia ‘comfortable’ lakini Mimi nilitumia tu hekima na busara pale unapokutana na vikwazo kwenye maisha.” alisema Sean Paul na kukazia kwamba Jay-Z alikuwa na wivu na ndio maana walionekana mara chache sana wakitumbuiza pamoja wimbo huo Jukwaani.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa