KODAK BLACK ATANGAZA KULIPA ADA YA WATOTO WA MAAFISA WA FBI WALIOUWAWA FLORIDA.

You are currently viewing KODAK BLACK ATANGAZA KULIPA ADA YA WATOTO WA MAAFISA WA FBI WALIOUWAWA FLORIDA.
  • Post category:Burudani

Rapa kutoka nchini Marekani Kodak Black amekuwa mtu mwema sana tangu awe uraiani mara baada ya kupokea msamaha wa Donald Trump.

Sasa ametangaza nia ya kuwalipia ada watoto wa maafisa wawili wa FBI ambao waliuawa wakiwa kazini wiki iliyopita mjini Florida.

Tovuti ya TMZ imeripoti kwamba Kodak Black pamoja na mwanasheria wake Bradford Cohen wamepeleka barua kwenye kitengo cha FBI mjini Miami na kuomba kuruhusiwa kutoa msaada huo wa kwa watoto wa maofisa hao, Daniel Alfin na Laura Schwartzen berger.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa