MAGIX ENGA AWAONYA WANAOWATAPELI WASANII WAKITUMIA JINA LAKE.

You are currently viewing MAGIX ENGA AWAONYA WANAOWATAPELI WASANII WAKITUMIA JINA LAKE.
  • Post category:Burudani

Staa wa muziki nchini Magix Enga amewatolea uvivu baadhi ya watu wanaotumia jina lake kuwatapeli wasanii wanaotaka kurekodi nae muziki kwenye rekodi lebo ya Magix Empire.

Kupitia insta story yake ya kwenye ukurasa wake Instagram Magix Enga ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki nchini amekanusha taarifa za kuwa tapeli wasanii na kusema kwamba hajawahi kufanya biashara yeyote akitumia namba tofauti za simu.

Kutokana na hilo magix enga amewaonya wanaotapeli wasanii wanaotaka kufanya nae kazi  kukoma mara moja la sivyo watakutana na mkono wa sheria huku akiwataka mashabiki zake kuwa makini na matapeli hao wanaotumia jina lake kujipatia pesa.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa