SNOOP DOGG “NIMEACHA KUIMBA NYIMBO ZA VIFO BAADA YA VIFO VYA TUPAC NA NOTORIUS B.I.G.”

You are currently viewing SNOOP DOGG “NIMEACHA KUIMBA NYIMBO ZA VIFO BAADA YA VIFO VYA TUPAC NA NOTORIUS B.I.G.”
  • Post category:Burudani

Msanii nguli wa HipHop duniani Snoop Dogg anasema aliacha ku-rap kuhusu vifo kufuatia kufariki kwa Tupac Shakur na Notorious BIG.

Kwenye mahojiano na Fatman Scoop, Snoop Dogg aliongelea mabadiliko hayo kwenye utunzi wake kufuatia vifo vya manguli hao wa Hip Hop duniani lakini pia mambo ambayo yaliwahi kumtokea kutokana na maudhui ya nyimbo zake.

Alitukumbusha kwamba aliwahi kuandika ‘Murder Was the Case’ wimbo ambao baadaye ulikuja kumtokea kwa kupata kesi ya mauaji mwaka 1993.

Akitolea mifano ya nyimbo kama ‘Death Around the Corner’ na ‘If I Die Tonight’ za Tupac Shakur na ‘Life After Death’ album ya Biggie, na baadaye vifo vyao vilifuatana kwa wote kupigwa risasi.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa