RAPA TEKASHI 69 AFUNGUKA SABABU ZA KUCHUKUA MAPUMZIKO YA MIEZI 6 KWENYE MUZIKI.

You are currently viewing RAPA TEKASHI 69 AFUNGUKA SABABU ZA KUCHUKUA MAPUMZIKO YA MIEZI 6 KWENYE MUZIKI.
  • Post category:Burudani

Rapa kutoka Nchini marekani Tekashi 69 ameweka wazi kuwa sababu zilizompelekea asifanye muziki na kuacha kutumia mtandao wa Instagram kwa muda miezi 6 ni kuongezeka uzito (Kunenepa) hivyo alitaka kujizingatia yeye mwenyewe kwanza.

Tekashi ameielezea sababu hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kuandika alijikuta kibonge kutokana na kupenda kula kula hali iyopelekea kunenepa na kuongezeka Uzito na kufikisha zaidi kilo 90.

Hata hivyo amesema amefanikiwa kupunguza zaidi ya kilo 20, na anaufurahia mwonekano wake wa sasa.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa