TANASHA DONNA “NIPO SINGLE”

You are currently viewing TANASHA DONNA “NIPO SINGLE”
  • Post category:Burudani

Msanii wa muziki nchini Tanasha Donna amesisitiza kuwa yupo single ikiwa ni siku chache tangu akutane na mzazi mwenza Diamond Platinumz.

Akizungumza alipotua nchini kutoka Tanzania, Tanasha amesema hajerudiana na Diamond Platinumz kama wengi wanavyodhani ila wanasaidia na mkali huyo wa Bongofleva kutoa malezi kwa mtoto wao.

Hitmaker huyo wa ngoma ya “Gere” amenyosha maelezo kuhusu video aliyosambaa mitandaoni ikimuonyesha akimnong’onezea kitu Diamond Platinumz kwa kusema kuwa watu walitamsifiri vibaya video hiyo kwani hana mazoea ya kubusu au kuonyesha mahaba hadhari.

Ikumbukwe Tanasha Donna amekuwa nchini Tanzania kwa  kipindi cha wiki moja iliyopita ambako alikuwa ameenda kwa ajili ya kumpeleka mtoto wake Naseeb Junior kumuona babake Diamond Platinumz lakini pia kufanikisha mchakato wa kuandaa video ya wimbo wake wa Nandy.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa