RAPA KODAK BLACK ASHEREHEKEA KUACHIWA UHURU NA NGOMA MPYA.

You are currently viewing RAPA KODAK BLACK ASHEREHEKEA KUACHIWA UHURU NA NGOMA MPYA.
  • Post category:Burudani

Zikiwa ni Siku chache tu baada ya kuachiwa huru kwa msamaha wa rais Trump, Rapa wa Florida Kodak Black ameamua kusherehekea uhuru wake kwa kuachia Ngoma mpya iitwayo ‘Last day in’

Katika Ngoma hiyo Kodak anagusia kuachiliwa kwake kutoka gereza la shirikisho nje ya Chicago Jumatano iliyopita baada ya kutumikia karibu nusu ya kifungo chake cha miezi 46 kwa kosa la kudanganya nyaraka ya kupata bunduki.

Kodak pamoja na Lil Wayne na Mkurugenzi Mtendaji wa Roc Nation, Desiree Perez ni miongoni mwa watu 145 walionufaika na msamaha na mabadiliko ya vifungo yaliyotolewa na Donald Trump siku yake ya mwisho ofisini kabla Rais Mpya Joe Biden hajaapishwa

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa