RAPA AY AWAACHA MASHABIKI NA MASWALI MENGI BAADA YA KUPIGA PICHA AKIWA MBELE YA JENGO LA INTERSCOPE RECORDS.

You are currently viewing RAPA AY AWAACHA MASHABIKI NA MASWALI MENGI BAADA YA KUPIGA PICHA AKIWA MBELE YA JENGO LA INTERSCOPE RECORDS.
  • Post category:Burudani

Nyota wa muziki wa rap nchini Tanzania A.Y  kupitia ukurasa wake wa Instagram, ame-share picha anayonekana akiwa mbele ya jengo la Interscope Records huko, California nchini Marekani.

Picha hiyo imekuwa miongoni mwa posti za mkali huyo zilizoacha maswali mengi zaidi kwa mashabiki wa muziki Afrika Mashariki.

Mashabiki wengi wamekuwa na kiu ya kutaka kujua kama kuna dili lolote la A.Y na label hiyo kubwa ya muziki Ila mkali huyo hasajema chochote kuhusu picha hiyo hadi sasa.

Interscope Records ni miongoni mwa lebo kubwa za muziki na maarufu duniani, ilianzishwa mwaka wa1990 na Jimmy Lovine pamoja na Ted Field, inamilikiwa na Universal Music Group kupitia chapa yake ya Interscope Geffen A and M.

Lebo hiyo ya muziki inasimamia wasanii wakubwa na maarufu duniani akiwemo; Eminem, Selena Gomez, Kendrick Lamar, Lady Gaga, na Dr. Dre.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa