POLLSTAR YATAJA ORODHA YA WASANII WEUSI AMBAO WAMEINGIZA PESA NDEFU KWENYE ZIARA ZA MUZIKI KATIKA MIAKA 21

You are currently viewing POLLSTAR YATAJA ORODHA YA WASANII WEUSI AMBAO WAMEINGIZA PESA NDEFU KWENYE ZIARA ZA MUZIKI  KATIKA MIAKA 21
  • Post category:Burudani

Mtandao wa Pollstar umetaja orodha ya wasanii weusi ambao wametengeneza pesa ndefu kupitia ziara za muziki (The Highest-Grossing Black Touring Artist) katika kipindi cha miaka 21.

Kwenye orodha hiyo iliyojumuisha Wanamuziki 7, Beyonce ameshika nafasi ya kwanza, akiingiza zaidi ya ($1 Billion) kwenye ziara zake zote za muziki tangu mwaka 2000.

1. Beyonce – Over $1 Billion

2. Jay-Z – $695 Million

3. Drake – $348 Million

4. Rihanna – $336 Million

5. Tina Turner – $235 Million

6. Kanye West – $219 Million

7. Prince – $207 Million

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa