PATRICK AUSSEMS ATANGAZWA RASMI KUWA KOCHA MKUU WA AFC LEOPARDS.

You are currently viewing PATRICK AUSSEMS ATANGAZWA RASMI KUWA KOCHA MKUU WA AFC LEOPARDS.
  • Post category:Michezo

Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa klabu ya Simba ya Tanzania, Patrick Aussems ametambulishwa rasmi kuwa kocha mkuu wa klabu ya AFC Leopards ya Kenya.

Aussems anajiunga na klabu hiyo baada ya kufanikiwa kuiongoza Simba kutwaa taji la Ligi Kuu ya Tanzania msimu wa 2018/19 na kufika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa ya Afrika.

Mbeligiji huyo mwenye umri wa miaka 55 ataanza rasmi mazoezi yake ya kwanza leo Jumanne na atasimamia mechi ya kwanza siku Jumamosi kati ya Leopards dhidi ya Taita Taveta All Stars.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa