MAN UNITED YAMUANDALIA MKATABA MPYA BRUO FERNANDEZ.

You are currently viewing MAN UNITED YAMUANDALIA MKATABA MPYA BRUO FERNANDEZ.
  • Post category:Michezo

Taarifa kutoka katika mtandao wa ‘Express’ umeripoti kuwa Manchester United ipo katika mpango wa kumpa mkataba mpya Bruno Fernandes ili kubakia klabuni hapo.

Fernandes amekuwa katika kiwango bora tangu atue klabuni hapo akitokea Sporting Lisbon ya Ureno msimu uliopita.

Hadi sasa Fernandes ametupia mabao 18 kwenye mashindano yote msimu huu akiwa na magoli mengi zaidi kuliko mchezaji yeyote katika kikosi hicho kinachonolewa na Ole Gunnar Solskjaer.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa