KOCHA THIERRY HENRY ATAJWA KUJIUNGA NA FC BOURNERMOUTH.

You are currently viewing KOCHA THIERRY HENRY ATAJWA KUJIUNGA NA FC BOURNERMOUTH.
  • Post category:Michezo

Klabu ya FC Bournemouth imetajwa kuwa kwenye mazungumzo na Thierry Henry kwa ajili ya kuja kuifundisha timu hiyo inayoshiriki ligi ya Championship nchini England.

Nyota huyo wa zamani wa Arsenal aliwahi kuifundisha Klabu ya AS Monaco inayoshiriki Ligi Kuu nchini Ufaransa, kwa sasa anaifundisha Klabu ya CF Montrèal ambayo inashiriki Ligi Kuu nchini Marekani maarufu kama MLS.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa