KLABU BINGWA ULAYA: MANCHESTER CITY KUVAANA NA MÖNCHENGLADBACH

You are currently viewing KLABU BINGWA ULAYA: MANCHESTER CITY KUVAANA NA MÖNCHENGLADBACH
  • Post category:Michezo

Michezo miwili itapigwa leo kati ya Borussia Mönchengladbach dhidi ya Manchester city huku Atalanta ikiialika Real Madrid.

Kiwango bora walichonacho Manchester City katika mashindano ya ndani kinakwenda kujaribiwa usiku wa leo kwenye Uwanja wa Puskas.

Uwanja wa Puskas unatumika kama eneo la nyumbani kwa Gladbach kwa sababu ya vizuizi vya Serikali ya Ujerumani ambavyo vinakataza timu ya kigeni kuingia Nchini humo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa