ROJO APEWA MKONO WA KWAHERI MAN UNITED

You are currently viewing ROJO APEWA MKONO WA KWAHERI MAN UNITED
  • Post category:Michezo

Ni Rasmi klabu ya Manchester United imemruhusu mchezaji wake muargentina Marcos Rojo kutoka klabuni hapo na kujiunga klabu ya Boca Juniors ya huko kwao Argentina.

Rojo amejiunga na Boca Juniors kwa uhamisho huru baada ya United kusitisha mkataba wake ambao ulitakiwa kuisha mwezi Juni mwaka wa 2021 na kumruhusu Rojo kujiunga na miamba hiyo ya soka nchini Argentina.

Licha ya kiwango chake kuwa kizuri lakini hajapata muda mwingi wa kucheza klabuni hapo kwa sababu ya kuandamwa na majeraha ya mara kwa mara.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa