MARCELO KUJIUNGA NA JUVENTUS

You are currently viewing MARCELO KUJIUNGA NA JUVENTUS
ABU DHABI, UNITED ARAB EMIRATES - DECEMBER 16: Cristiano Ronaldo and Marcelo of Real Madrid CF celebrates the win of the Club World Cup on December 16, 2017 in Abu Dhabi, United Arab Emirates. (Photo by Kaz Photography/Getty Images)
  • Post category:Michezo

Beki wa Real Madrid Mbrazili Marcelo da Silva huenda akaungana tena na Cristiano Ronaldo baada ya Juventus kuonesha nia ya kutaka kumsajili.

Marcelo amekuwa sehemu kubwa ya mafanikio ya Madrid tangu atue klabuni hapo mwaka 2016 lakini kwa sasa nafasi yake imechukuliwa na Ferland Mendy kitu kinachomfanya kutaka kuondoka Hispania mwishoni mwa msimu huu kumalizika.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa