NAVIO ARAI WADAU WA MUZIKI UGANDA KUTOSUSIA TUZO ZA MTV AFRICA MUSIC AWARDS.

You are currently viewing NAVIO ARAI WADAU WA MUZIKI UGANDA KUTOSUSIA TUZO ZA MTV AFRICA MUSIC AWARDS.
  • Post category:Burudani

Rapa kutoka nchini Uganda Navio amewarai wadau wa muziki nchini humo kutozuzia tuzo za MTV Africa Music Awards zitakazofanyika tarehe 20 mwezi huu.

Akiwa kwenye moja ya interview Navio amewataka wa ganda kutoingiza siasa kwenye masuala ya burudani ikizingatiwa kuwa tuzo hizo zinafanyika kwa mara ya kwanza nchini Uganda.

Aidha amesema iwapo wadau wa muziki watasusia tuzo hizo, wanamuziki wataathirika kiuchumi kwani tuzo za MTV Africa Music Awards zitatoa nafasi kwa wasanii wenye vipaji kuonyesha uwezo wao kwenye muziki.

Kauli inakuja baada ya kuwepo kwa ripoti kuwa baadhi ya wadau wa muziki nchini Uganda wanapanga kususia tuzo za MTV Africa Music Awards kwa madai kuwa tuzo hizo zina upendeleo kwa baadhi ya wanamuziki wa zamani.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa